News

Uteuzi wake umefanyika baada ya kuungwa mkono kwa kauli moja na Maspika wa Mabunge ya Kitaifa ya nchi wanachama wa ICGLR.
Jeshi la Polisi Mkoa wa Rukwa limeanzisha kampeni maalumu ya unywaji pombe salama ili kuepuka madhara yatokanayo na unywaji ...
Baada ya kuzuiwa kwa muda uvuvi katika Ziwa Tanganyika, Serikali imesema mavuno ya samaki yameongezeka na kufikia tani 38,999 ...
Kocha wa Athletic Bilibao, Ernesto Valverde ametuma ujumbe wa kuionya Man United ikiwa zimebaki siku chache kabla timu hizo ...
Russia jana iliendesha mashambulizi mazito jijini Kyiv, Ukraine kwa makombora na ndege zisizo na rubani (droni) kwa saa ...
Zimebaki saa chache kabla ya mchezo wa pili wa nusu fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika kati ya Al Ahly na Mamelodi Sundowns ...
Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Adam Malima, akiwa na Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega, jana Aprili 24, 2025, wamefika kwenye eneo ...
Mbunge wa Kongwa (CCM), Job Ndugai amesema uchaguzi mkuu wa Oktoba 2025 wanausubiri kwa shauku kubwa huku akijigamba kupata ...
Baada ya mechi za kwanza za hatua ya nusu fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika kumalizika kwa sare tasa wiki iliyopita, timu ...
Marufuku iliyotolewa na Serikali kwa bidhaa za kilimo kutoka Afrika Kusini na Malawi, imewaathiri wafanyabiashara wa tufaa ...
Teknolojia hii inahusisha kubadilisha vinasaba vya mbu, kwa kuongeza jeni ambazo hupunguza uwezo wao wa kuishi na kuzaana, na ...
Kwa wastani, kiwango cha maambukizi ya malaria nchini Tanzania ni asilimia 8.1, lakini kiwango hicho hutofautiana sana kati ...